mahali pakupata majibu katika Biblia

Bibileinfo.com inasaidia watu katika ulimwengu wote, kueleza watu jinsi Biblia inavyosema kuhusu majibu katika maisha. Utapata usaidizi na maelekezo, kutoka kwa neno la Mungu.

Kuomba pepo

Mungu ametuonya kutokuwa na uhusiano na pepo. Imeandikwa, Mambo ya Walawi 19:31 "Msiwaendee wenye pepo wala wachawi, msiwatafute ili kutiwa unajisi na wao mimi ndimi BWANA Mungu wenu."